Kangi Lugola aagiza wavuruga uchaguzi kukamatwa

Mhe. Kangi Lugola

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola ameliagiza Jeshi la Polisi nchini kuwakamata na kuwafungulia mashataka watu wanaowapotosha wananchi kutokujitokeza kujiandikisha kwa ajili ya uchaguzi wa Serikali za Mitaa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS