Wakulima 156 waliodhulumiwa na Mwenyekiti

Wanachama wa Muzia Amcos Wilayani Kalambo.

Serikali imetangaza dhamira yake ya kuwalipa wakulima 156 wa mahindi jumla ya Shilingi 315,118,510 kutokana na kudhulumiwa na Mwenyekiti wa Chama cha Ushirika Ndg Linus Kalandamwazye.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS