JPM akubali jimbo la Nape lipewe hadhi mpya
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli, ameagiza Halmashauri ya Lindi Vijijini, ibadilishwe na iitwe Halmashauri ya Mtama kwa kile alichokieleza kwamba, watendaji wengi wa Serikali kubaki mjini, kunachelewesha maendeleo kwa wananchi wanaoishi vijijini.

