JPM akubali jimbo la Nape lipewe hadhi mpya

Rais Magufuli akiwa na Mbunge wa Mtama Nape Nnauye.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli, ameagiza Halmashauri ya Lindi Vijijini, ibadilishwe na iitwe Halmashauri ya Mtama kwa kile alichokieleza kwamba, watendaji wengi wa Serikali kubaki mjini, kunachelewesha maendeleo kwa wananchi wanaoishi vijijini.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS