Mhubiri amuua mkewe wakati wa ibada

Pichani ni kanisa ambalo mauaji hayo yamefanyika.

Mhubiri Elisha Misiko wa kanisa la Ground for Jesus, lililoko mjini Mombasa nchini Kenya, amemuua mke wake kwa kumchoma na kisu na kisha yeye kujikata koo lake na kufariki papo hapo, wakati wa ibada ya Jumapili ikiendelea kanisani hapo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS