Alichokisema Sabaya kuhusu kugombea Ubunge Hai

Mkuu wa Wilaya ya Hai Lengai Ole Sabaya.

Mkuu wa Wilaya ya Hai Lengai Ole Sabaya, amesema kuwa hana mpango wowote wa kugombea Ubunge wa Jimbo la Hai, kwa kuwa imani aliyopewa na Rais Magufuli juu ya kuwatumikia wananchi wake ni kubwa na ataendelea kuifanya kwa uadilifu mkubwa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS