Kuingia MOI sasa lazima uvae barakoa Taasisi ya Tiba ya Mifupa (MOI). Taasisi ya Tiba ya Mifupa (MOI), imesema kuwa kuanzia kesho Aprili 17, 2020, kila mtu awe mgonjwa, ndugu wa mgonjwa ama mdau yeyote atakayeingia katika taasisi hiyo anatakiwa kuvaa barakoa (Mask). Read more about Kuingia MOI sasa lazima uvae barakoa