Wahudumu watano wa Hoteli waambukizwa Corona Sampuli za vipimo Idadi ya visa vya waathirika wa Virusi vya Corona nchini Kenya imeongezeka na kufikia visa 246, baada ya hii leo kutangaza visa vipya 12, huku watano kati yao ni wakiwa ni wafanyakazi wa hoteli. Read more about Wahudumu watano wa Hoteli waambukizwa Corona