Wizara yatoa neno picha za barakoa zinazosafishwa
Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, imetolea ufafanuzi mzuri kufuatia picha zinazosambaa kwenye mitandao ya kijamii zikionesha watu wakisafisha barakoa zilizochafuka, kitendo ambacho ni kinyume na maelekezo ya namna ya utumiaji wa barakoa hizo.