"Vijana acheni kusubiria kufa" - Mchungaji Kimaro
Mchungaji wa Kanisa la KKKT Kijitonyama Dkt Eliona Kimaro, amewataka vijana kuacha kusubiria vifo kwa kuwa maisha bado yapo na waendelee kuweka mipango yao ya maisha ya kawaida na kuachana na taarifa zinazowaletea msongo wa mawazo.