Idris akutwa na mashtaka mawili 

Msanii wa vichekesho Idris Sultan na mwenzake Innocent Maiga, wakiwa katika Mahakamani.

 Leo Mei 27, 2020, Idris Sultan na mwenzake wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Jijini Dar es Salaam na kusomewa mashtaka mawili ikiwemo kumiliki laini ya simu yenye namba 0753-617-621, ambayo imesajiliwa kwa jina la Innocent Maiga.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS