JPM asema DSM haitafungwa, azishangaa mashine

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli.

Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli, amesema kuwa haitatokea hata siku moja Mkoa wa Dar es Salaam, ukafungwa kutokana na maambukizi ya Virusi vya Corona, kwa kuwa ndiyo kitovu cha mapato ya Taifa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS