Msanii wa Wagonga ulimbo,Dakika 90 afariki dunia

Picha ya marehemu John Paul "Nyandu Boy"

Kamera man na msanii wa tamthilia ya Wagonga ulimbo na Dakika 90 inayoruka East Africa TV kila siku ya Jumamosi na Jumapili kuanzia 12:00 jioni, John Paul "Nyandu Boy" amefariki dunia kwa ajali ya gari siku ya jana Mei 18,2020

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS