Ndugu waeleza sababu ya kusherehekea kifo cha Bibi

Kushoto ni Bibi Susana Mmari wakati wa uhai wake, kulia ni mazishi yake.

Hivi karibuni kupitia mitandao mbalimbali ya kijamii, zilisambaa video na picha zikionesha watu wakisherehekea kifo cha Bibi mmoja aliyejulikana kwa jina la Susana Benjamin Mmari, aliyefariki na umri wa miaka 126, kilichotokea Mei 27 na kuzikwa Mei 30, 2020, huko Old Moshi Kidia.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS