Amuua mkewe na kujiua kwa kisu Mara

Tukio hilo limetokea Septemba 12, 2025 majira ya saa 04:30 usiku ambapo Ibrahim Shida alimchoma mkewe kwa kisu maeneo ya shingo na kusababisha majeraha makubwa yaliyosababisha kifo cha mkewe baada ya kuvuja kwa damu nyingi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS