Wanne wauawa kwa kuchinjwa Msumbiji. Kundi linalojiita dola la kiislamu (IS) tawi la Msumbuji, limekiri kuwaua watu wanne akiwemo mtawa raia wa Italia kaskazini mwa jimbo la Nampula , shambulizi ambalo lilifanyika jumanne wiki hii. Read more about Wanne wauawa kwa kuchinjwa Msumbiji.