Mkurugenzi mstaafu FBI ashtakiwa Aliyekuwa Mkurugenzi wa shirika la upelelezi la Marekani FBI James Comey ameshitakiwa kwa tuhuma za kutoa taarifa za uongo kwa Bunge la Marekani na kuzuia haki kutendeka. Read more about Mkurugenzi mstaafu FBI ashtakiwa