Mawakili wapewa siku 14 kukagua kesi zote

Serikali imewapa Mawakili Wafawidhi wa Serikali siku kumi nne kuanzia leo kuwasilisha orodha ya kesi zilizopo kwenye taasisi za umma wanazofanyia kazi  pamoja na majina na vyeo vya wahusika waliosababisha kesi hizo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS