Tutaanza kufanya miradi wenyewe hatutokaa kusubiri

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu alikemea vikali ucheleweshaji usiokuwa na sababu katika mchakato wa kupata idhini ya mikopo, ambapo miradi inaweza kuchukua hata mwaka mmoja kupitishwa kutokana na masharti na taratibu ngumu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS