
Pichani ni Diamond na Harmonize
Msanii wa Kizazi kipya na mmiliki wa recording label ya Konde Gang armonize ameonesha kushangazwa na kile alichokifanya msanii Diamond Platnumz kusafirisha magari yake mpaka Zanzibar, ambacho kwa mujibu wa Konde amekitafsiri kuwa msanii Diamond anajitapa ama kujigamba
Pichani ni Diamond na Harmonize