
Ndivyo ilivyokuwa Jana kwa kukutana na wana-familia ya #SUPABREAKFAST tumezungumza mengi kama familia, tukajadili mengi kwa niaba yako mwanafamilia ambaye ulikuwa na majukumu kidogo kwa leo lakini ulipata wasaa wa kuungana nasi kupitia #EastAfricaTv na #EastAfricaRadio
Hakuna neno kubwa zaidi ya Ahsante kwa muungwana, tuungane kwa pamoja kuelekea safari ya utekelezaji wa ahadi zitakazojazwa utimilifu.