Katika droo hiyo iliyoshirikisha jumla ya timu 64, Mabingwa watetezi Yanga SC wamepangwa dhidi ya Haulung ya daraja la kwanza wakati Simba wakiwakaribisha Tembo FC ambao ni Mabingwa wa Ligi ya Mkoa wa Tabora huku Azam wakiwa wenyeji wa Alliance kutoka Mwanza.
Mechi hizi zitaanza kuchezwa kuanzia Desemba 15 hadi 17, 2023.