![](http://eatv.tv/sites/default/files/styles/detailpageimg/public/news/2023/10/16/387744598_18395679454021875_7483122861220551556_n.jpg?itok=1Zth26Qn×tamp=1697469783)
Nyota mpya wa Bucks Damian Lillard alifunga alama 14 na kutoa pasi za usaidizi wa magoli mara 3 huku Giannis Antetokounmpo akifunga alama 16 huku upande wa lakers Anthony Davis akifunga alama 16 ilhali kwenye mchezo huo Lakers ilikosa huduma ya nyota wao LeBron James.
Msimu mpya wa Ligi ya kikapu ya Marekani NBA 2023-24 ambao utakuwa ni makala ya 78 tangu kuanzishwa kwa ligi ya kikapu nchini Marekani unataraji kuanza Jumanne ya Oktoba 24-2023 na kutaraji kuhitimishwa Jumapili ya Aprili 14-2024.