Fuente amesema nina furaha kuona timu yangu inaendelea vizuri kwenye njia inayopendeza,kila mchezaji ana hisia nzuri za kuwepo kwenye timu pamoja na tunajenga timu nzuri kwa ajili ya siku za mbeleni.
Luis de la Fuente aliichukua nafasi ya Luis Enrique ndani ya timu ya taifa ya Uhispania baadaya kombe la kombe la dunia 2022 huku mpaka sasa timu 7 zimefuzu kwa ajili ya michuano ya Ulaya 2024 inayotaraji kufanyika nchini Ujerumani kuanzia Juni 14 mpaka Julai 14-2024.