Wananchi wakiwa nje ya duka
Mwenyekiti wa Kijiji hicho Ramadhani Hassani Yusuph amethibitisha tukio hilo na kusema mapema asubuhi ya leo Agosti 5, 2023, amepata taarifa hizo na kufika eneo la tukio na kujulisha Jeshi la Polisi Kituo kidogo cha Kijungu na kufika hivyo uchunguzi wa tukio hilo unaendelea.