
Taarifa ya uteuzi huo imetolewa leo Juni 11, 2023, ambapo pia amemteua Irene Joseph Lesulie kuwa Naibu Kabidhi Wasii Mkuu, kabla ya uteuzi alikuwa Mkurugenzi Msaidizi Sehemu ya Mashauri ya Kimataifa, Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali.
Bi. Irene anachukua nafasi ya Lina Robert Sanga ambaye uteuzi wake umetenguliwa.