
Pichani anaonekana kizungumza na Muwakilishi wa Mfalme Charles III, Cynthia Gresham pamoja na Balozi wa Tanzania nchini humo Dkt. Asha-Rose Migiro mara baada ya kuwasili katika uwanja wa Ndege wa Luton tarehe 17 Septemba, 2022 kwa ajili ya kuhudhuria mazishi ya Malkia Elizabeth II wa Uingereza takayofanyika tarehe 19 Septemba, 2022 Jijini London.
