
Chanjo ya Corona
Taarifa hiyo imeeleza kuwa kutokana na mwongozo wa chanjo wa Taifa dhidi ya ugonjwa huo, chanjo hizo kwa sasa zitatolewa kwa kufuata vipaumbele vya makundi yenye uhitaji mkubwa ambayo ni watumishi wa Sekta ya Afya, watu wazima wa umri wa miaka 50 na kuendelea na watu wenye magonjwa.
Tazama orodha ya hospitali zitakazokuwa zinatoa chanjo ya UVIKO-19