Picha ya msanii Wizkid
Mtumiaji wa Twitter ambaye ametambulika kwa jina la Sandra Lah ameandika kuwa Wizkid na timu yake walimlipa Rihanna ili kuukuza wimbo huo kupitia mitandao ya kijamii huku akisisitiza kuwa sio mara ya kwanza kwa Wizkid kucheza mchezo kama huo.

