
Rais wa Botswana Mokgweetsi Masisi
Ameeleza kuwa Rais Masisi atakuwa Tanzaniakwa ziara ya siku mbili ya kikazi kwa mwaliko wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan.
“Mfululizo wa ziara hizi ni kukuza na kuimarisha diplomasia za kiuchumi kutoka kwa wenzetu” amesema Balozi Mulamula.