
msanii wa muziki wa nchini Uganda Big Eye
Msanii huyu kupitia njia ya mtandao ameandika kwa masikitiko ujumbe akiwauliza wabaya wake ni jambo gani amewafanyia mpaka kufanyiwa kitendo hicho cha kinyama.
Gari ya msanii huyu iliyoungua ni aina ya Toyota Noah na tukio hili lilitokea katika eneo analoegeshea gari nyumbani kwake.
