
Kocha Mwinyi Zahera
Zahera amesema ameshafuata taratibu zote kwani anajua pesa yake alitakiwa kulipwa mapema baada tu ya kufukuzwa.
'Wanasema hawana hela sasa tutajua, maana makocha wote waliofukuzwa wakiwemo wale wa Simba na Azam FC walilipwa pesa zao siku hiyo hiyo maana huwezi kufanya maamuzi bila kujua utatoa wapi pesa', amesema Zahera.
Zaidi msikilize hapa akieleza zaidi.