Mwanariadha Alphonce Simbu
Mwanariadha huyo 'private' akiwakilisha Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania, alimaliza baada kukimbia saa 2:11:16 huku akiwaahinda wakimbiaji wengne 95 kutoka nchi zaidi ya 30.
Katika mbio hizo mshindi wa Kwanza ni Luche Sumi kutoja Bahrain aliyekimbia 2:08:28, mshindi wa tatu ni mwanariadha kutoka Rwanda John Hakizimana akiyekimbia kwa karibu nyuma ya Simbu kwa 2:11:19.

