
Amiri Jeshi Mkuu, Rais Dkt. John Magufuli (kushoto), wakiteta jambo na Mkuu wa Majeshi mstaafu Jenerali Davis Mwamunyange.
Jen. Mstaafu Mwamunyange ni Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania (JWTZ) Mstaafu. Uteuzi wa Jen. Mwamunyange unaanza leo tarehe 07 Julai, 2018.