![](http://eatv.tv/sites/default/files/styles/detailpageimg/public/field/image/Ray-C-mpya[1].jpg?itok=0lmiFHO2×tamp=1472874112)
Ray C
Ray C mpaka sasa amesema amesharekodi nyimbo tisa ambazo anasubiri kuziachia baada ya kumaliza dawa hizo mnamo mwezi Desemba baada ya hapo atarudi rasmi game
Ray C amesema kwa sasa bado anaangalia ni management ipi anaweza kufanya nayo kazi ili aweze kuwafurahisha mashabiki wake waliommiss kwa muda mrefu.