
Kapu la kwanza lina timu za
1-USM Alger (Algeria)
2-Al Hilal (Sudan)
3-AS Vita Club (DRC)
4-Enyimba (Nigeria)
Kapu la pili lina timu za
1-Asec Mimosas (Ivory Coast),
2-Yanga Sc (Tanzania)
3-CARA Brazaville (Congo)
4-Williamsville (Ivory Coast)
5-Al Masry (Egypt)
6-Aduana Stars (Ghana)
7-Gor Mahia (Kenya)
8-Djoliba (Mali)
9-Raja Casablanca (Morocco)
10-RS Berkane (Morocco)
11-UD Songo (Mozambique)
12-Rayon Sports (Rwanda)
Kwa mujibu wa kanuni za mashindano timu nne zilizopo kwenye Kapu la 1 haziwezi kukutana kwenye makundi huku timu 12 za Kapu la 2, timu 3 zinakuwa kwenye kundi moja.
Kila timu kwenye kundi itacheza mechi 6 ikiwa mechi 3 nyumbani na mechi 3 ugenini. Mechi za makundi zinatarajiwa kuchezwa kuanzia Mei 4 na 6 mpaka Agosti 28 na 29.