
Afisa habari wa TFF Boniface Wambura amesema kuwa katika kikao hicho, wang’amuzi hao watapitia majina ya wachezaji walioteuliwa ikiwemo kuwaangalia tena kwenye video kwa vile mechi zote zilirekodiwa. Wachezaji watakaoteuliwa katika mpango huo baadaye wataingia kambini mkoani Mbeya.
Wang’amuzi vipaji ambao wanaoondoka Machi 9 mwaka huu kwenda Lushoto.