
Kessy amesema ushindani ni mkubwa ndiyo maana ameamua kuendelea na mazoezi hata katika kipindi hiki cha mapumziko ili akiingia kambini awe tayari kwa ushindani.
Kessy mesema, anafurahia ushindani kwa kuwa humfanya mtu kuwa imara hivyo yuko tayari na kuisaidia timu yake.
Kessy amejiunga na Yanga akitokea Simba ambako mkataba wake umeshamalizika.