Msanii wa BongoFleva Rich Mavoko

Mshambuliaji wa Mbao Fc, Waziri Junior akishangilia moja ya bao lake alilofunga katika mchezo dhidi ya Ihefu ingawa haikutosha kuwanusuru kushuka daraja

Kiungo Ally Niyonzima raia wa Rwanda (Kulia) akisaini mkataba wa miaka miwili mbele ya ,Mtendaji Mkuu wa Azam Fc Abdulkarim Amin.

Mwenyekiti wa Tume ya taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Mstaafu Semistocles Kaijage.

Kushoto ni Frank Lampard na mwingine ni Mikel Arteta.

Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda.

Waziri wa Uchukuzi wa Kenya, James Macharia na kulia ni Mkurugenzi wa Mamlaka ya Anga nchini, Hamza Johari.

Mfungaji bora wa klabu ya Yanga msimu wa 2019/20, David Molinga (Pichani) akiwa katia Studio za East Africa Radio kwenye Kipindi cha Michezo cha Kipenga kinachoruka kila Jumatatu hadi Ijumaa saa 2 Usiku

Mshike mshike kati ya Mbeya City na Mbao katika moja ya mechi ya Ligi Kuu Tanzania Bara.