Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa (katikati) akikagua moja ya miundombinu ya daraja mkoani Lindi leo Machi 5, 2024

5 Mar . 2024

Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa akitoa meelekezo kwa Wakala wa Barabara (TANROADS)

4 Mar . 2024

Waziri anaeshughulikia masuala ya viwanda na bishara nchini somalia Jibril Abdirashid Haji pamoja na katibu mkuu wa jumuiya ya Afrika Mashariki Dkt Peter Mathuki wakishika endera ak bendera kiashirio cha kuingia katika umoja wa jumuiya hiyo katika makao makuu ya jumuiya hiyo jijini Arusha.

4 Mar . 2024

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Dkt. Selemani Jafo akizungumza jambo na Naibu Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Chakula na Kilimo Duniani (FAO) Bi. Maria Helena Semedo mara baada ya kufanyika Mkutano wa Uwili wakati wa Mkutano wa Sita wa Baraza wa Mazingira Duniani (UNEA6) jijini Nairobi nchini Kenya.

4 Mar . 2024