Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya Benjamin Kusaga

9 Mar . 2024

Moja ya mradi wa Barabara uliotekelezwa katika awamu ya sita mkoani Tabora

8 Mar . 2024

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Jerry Silaa (wa pili kushoto) akimpatia tuzo Mjiolojia kutoka GGML, Janeth Luponelo kutokana na mchango wa kampuni hiyo katika masuala ya jinsia. Kushoto ni Waziri wa Madini, Anthony Mavunde na kutoka kulia ni Makamu Rais wa AngloGold Ashanti – GGML anayeshughulikia miradi endelevu na masuala ya ushirika Afrika, Simon Shayo, Mkuu wa Kagera, Fatma Mwassa na Mkuu wa mkoa wa Morogoro, Adam Malima.

8 Mar . 2024

Msajili wa Bodi ya Usajili wa Makandarasi Tanzania (CRB), Mhandisi Rhoben Nkori

8 Mar . 2024

Mmoja wa wahitimu wa programu ya mafunzo ya uongozi (FFT) kwa mwama huu, Kulwa Nyirenda anayefanya kazi GGML, akipokea cheti kutoka kwa Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dk Dorothy Gwajima (wa tatu kushoto) , wa pili kutoka kushoto ni Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira & Watu Wenye Ulemavu), Patrobas Katambi, nao kutoka kulia kwenda kushoto: Makamu Mwenyekiti wa ATE, Imelda Lutebinga, Mwenyekiti Mstaafu wa ATE, Almas Maige na Mkufunzi wa mafunzo hayo kutoka Chuo cha Mafunzo ya Utawala Afrika Mashariki na Kusini (ESAMI), Profesa Lucky Yona.

7 Mar . 2024