Vijana wa Ngwasuma
Akiongea na eNews Mmoja wa Wanamuziki wa Kundi hilo Toscanee Maziwa amesema kuwa nyimbo hizo ambazo wataziachia moja wameipa jina la Mama Afrika na nyingine ni Karibu.
Toscanee amesema baada ya kuachia nyimbo hizo wataachia Album yao ambayo ipo mbioni kumalizika na wameipa jina la Wale Wale.

