Saturday , 8th Aug , 2015

Mwanamuziki wa Hip Hop wa siku nyingi nchini Tanzania Mo tecknick, Mo conshaz, Jay Mo amesema anavutika sana na Mwanamuziki wa Hip Hop toka nchi Marekani Nas Escobar ndio mtindo anaotumia kwenye Muziki wake.

Jay Moe

Jay Mo ambae ni mmoja wa waanzilishi wa Kundi la Wateule amesema kuwa Style anayotumia Nas ni ndio anayoifanya yeye na ndio maana siku zote anabaki kuwa mwenye heshima yake katika game ya Muziki nchini.

Amesema licha ya kuingia kwenye game hajambadilisha kabisa Nas na kumpelekea kwenye Biashara na yeye ndio anajaribu kufanya muziki wa aina hiyo bila kuweka saba mbele Biashara ila ni kwa kuwakilisha kile anachikiamini.

Nas
Tags: