
Nash MC
Nash amekuwa tofauti na wengine kwa kutomtaja msanii hata mmoja wa hip hop na kusema kuwa aliyekuwa star wa twanga Pepeta, Ferguson ndiye mfalme wa marapa Tanzania.
Nash MC amesema hayo kupitia mtandao wake wa Facebook na kusema kuwa anaomba orodha yake hiyo ya wasanii watano anaowakubali iheshimike.
Ferguson
"Naona siku hizi kila mmoja anataja Marapa wake bora anaowakubali. Sina budi na mimi niwatajie orodha ya wakali wangu hao watano. Nao ni
1. Khalid Chokoraa
2. Totoo Ze Bingwa
3. Msafiri Diouf
4. Canal Top
5. Khalidjo Kitokororo Kuku
Ukitaka bonus nakutupia mzazi Ferguson mfalme wa marapa Tanzania naomba orodha yangu iheshiwe