![](http://eatv.tv/sites/default/files/styles/detailpageimg/public/field/image/7203_294710874001268_1825630445_n_1.jpg?itok=jVRUBFGR×tamp=1472616154)
Madee amesema kuwa, rekodi hiyo ilifanyika kutokana na hali halisi na mabadiliko katika muziki kwa kipindi ambacho ilirekodiwa, na alifanya na Godzilla akiwa kama msanii aliye juu kwa kipindi hicho na hivyo kuzaliwa kwa mfumo huo mpya kabisa wa kolabo katika Bongo Flava.
![](http://eatv.tv/sites/default/files/styles/detailpageimg/public/11_2.jpg?itok=y_s6J6sS)