
M Rap amesema kuwa kazi hii mpya inabeba ujumbe wa mapenzi kwa ajili ya kuwapa moyo wapendanao ili kudumisha zaidi mahusiano yao, na kusema kuwa kazi hii mpya ndio mwanzo wa kufungua vyema mwaka huu wa 2014.
Aidha rapa huyu amewaomba mashabiki na wadau wote kuumpa sapoti kwani kazi zingine mpya zinatarajiwa kukamilika katikati ya mwaka huu.