
msanii wa muziki wa bongofleva nchini Leah Moudy
Leah amesema kuwa, baada ya kutafakari sana ameamua kumgeukia Mungu, na kuingia katika maisha ambayo anaona anapata amani, hatua ambayo imebadilisha hata aina ya muziki anaoufanya na kuhakikisha kuwa rekodi zake zinakuwa zinabeba ujumbe wa kiimani zaidi.
