
mashindano makubwa ya Dance 100% 2015 nchini Tanzania
Kama ambavyo utaratibu ulivyotangazwa kwa wanaonuia kushiriki Dance100%, 2015 tayari kwa usahili wa michuano hiyo itakayoanza hivi karibuni, wanatakiwa kuunda makundi ya watu 5 hadi 8, na kuanza mazoezi tayari kabisa kwa kuleta ushindani wa nguvu pale usahili utakapoanza.
Baada ya kung'ara kwa makundi makali kabisa kupitia Dance 100 miaka iliyopita, wakiwemo T AFRICA, THE CHOCOLATE na WAKALI SISI sasa ni Zamu Yako, kaa tayari kwa Dance100% 2015.