
Project hiyo mpya kwa mwaka huu wa 2014 imemshirikisha msanii anayejulikana kwa jina little-known Mansura, akiwa ni mmoja wa wasanii watakoongezea ladha project hiyo inayotarajia kutoka hivi karibuni.
BMF hivi sasa wanaendelea kutikisa chati kupitia kazi yao iliyowapatia chati katika muziki inayokwenda kwa jina ‘I Live For You’, ambapo wamewasihi mashabiki Afrika Mashariki kutegemea kazi mpya kutoka kwao.