Nimezaliwa mwaka 1996 wilaya ya ILALA Mkoa wa DAR ES SALAAM
Mimi ni mtoto wa 6 katika familia ya watoto 7 nina kaka 4 na dada 1
Ninaishi KAWE na MAMA
Mtaani kwangu najulikana kwa ZAHRA
Mimi nimesoma mpaka form 4
Mafanikio katika Fani:
NMafanikio yangu katika fani yangu yamenifanya najiamini pia vitu baadhi nimenunua wakati nipo kwenye fani yangu, pia imenifanya nifahamike sehemu mbalimbali kwa hapa Dar es salaam
Year: