Luteni feki wa jeshi akamatwa Simiyu Luteni feki wa JWTZ Jeshi la Polisi Mkoa wa Simiyu limemkamata Emmanuel Mapana (24) maarufu kwa jina la Mchambi, mkazi wa mtaa wa Sima, wilaya ya Bariadi, akiwa na sare za Jeshi la Wananchi wa Tanzania zenye cheo cha Luteni. Read more about Luteni feki wa jeshi akamatwa Simiyu